×

Baada ya Miaka 3 na Miezi 8, Mkurugenzi wa JATU na Wenzake Warejea Uraiani

Dar es Salaam — Mkurugenzi wa JATU PLC, Peter Gasaya, pamoja na wenzake wanne wameachiwa na kurejea uraiani baada ya...

READ MORE

Polisi Tanzania na Azam Zagawana Pointi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Polisi Tanzania FC na Azam FC zimetoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ushindani uliopigwa leo Agosti 15, 2026...

READ MORE

Marioo Aachia Video Rasmi ya “Watu” Akimshirikisha D Voice

Msanii wa Bongo Fleva, Marioo, ameachia rasmi video ya wimbo wake “Watu” aliomshirikisha nyota wa Singeli, D Voice. “Watu” ni...

READ MORE

Nafasi za Kazi Wezesha Mzawa Microfinance – Loan Officer, Mwisho wa Maombi Agosti 31, 2026

We are seeking a motivated, experienced Loan officer/ Credit officer to join our growing company. In this position, you will...

READ MORE

Simba Yamtambulisha Ismail Mgunda Akitokea Mashujaa FC

Klabu ya Simba leo Agosti 15, 2026 imemtambulisha rasmi mshambuliaji Ismail Mgunda kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo kwa ajili ya...

READ MORE

La Liga Yarudi Rasmi: Alavés na Getafe Kufungua Msimu Mpya leo

Msimu mpya wa La Liga hispania unaanza rasmi leo Jumamosi, Agosti 15, kwa mechi itakayowakutanisha Deportivo Alavés na Getafe uwanja...

READ MORE

Unatafuta Kazi? Nafasi Ya Marketing & Advertising Officer Dar, Full-time

📍 Dar es Salaam | Full-time Tunatafuta Marketing & Advertising Officer mwenye uwezo, ubunifu na uzoefu katika Advertising Sales, hasa...

READ MORE

Video: Pinela Atoboa Siri ya Mitoko Yake na Fred Vunjabei, Tetesi Zazimwa!

Mwanadada maarufu mitandaoni, Pinela Justine, amefunguka kuhusu tetesi zinazomhusisha na mfanyabiashara maarufu Bongo, Fred Vunjabei, akikanusha kuwa wawili hao wana...

READ MORE

Trump Atishia Kuitangaza Hormuz kuwa Eneo la Marekani, Iran Yatajwa!

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ataitangaza hivi karibuni mlango wa bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani baada ya kile...

READ MORE

Sefu Musa Afariki, Vijana wa Arusha Watoa Ya Moyoni Kuhusu Madai ya Kuteswa – Video

Vijana kutoka Arusha wameeleza masikitiko na hasira kufuatia kifo cha mwenzao, Sefu Musa, ambaye amefariki dunia katika mazingira yanayodaiwa kuhusisha...

READ MORE

Mashujaa Yamshusha Kipa Wilbol Maseke Kutokea Coastal Union Ya Tanga

Klabu ya Mashujaa FC ya Kigoma imefanikiwa kumnasa golikipa Wilbol Maseke, aliyekuwa akiitumikia Coastal Union, kwa usajili wa mchezaji huru....

READ MORE

Haaland Atunukiwa Vyeti Vinne vya Guinness Baada ya Kuvunja Rekodi

Mshambuliaji wa Manchester City, Erling Haaland, ametunukiwa vyeti vinne vya Guinness World Records baada ya kuweka rekodi mbalimbali za kipekee...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 15, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Bubble Up Yatingisha Meridianbet, Mizunguko Kumwaga Zawadi

Meridianbet imeongeza ladha mpya kwenye burudani za kasino baada ya Bubble Up kutoka Pragmatic Play kuwasili kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Airtel Africa Yaandika Historia kwa Kuzindua Starlink Mobile DRC

KINSHASA, DRC — Airtel Africa imeandika historia kwa kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua huduma ya Starlink...

READ MORE

Rais Samia Atoa Wito kwa Watanzania Kulinda Amani “Ndiyo Kila Kitu”

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi,...

READ MORE

Msimu Mpya wa Ligi Waanza kwa Sare! Pamba Jiji na Dodoma Jiji Zatoka 1-1

Pamba Jiji na Dodoma Jiji zimeanza msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2026/27 kwa kugawana alama baada ya kutoka sare...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yaahirishwa Baada ya Shahidi wa 18 Kupata Dharura ya Kiafya – Video

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeshindwa kuendelea leo Ijumaa, Agosti 14,...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yajenga na Kukarabati Madarasa, Kunufaisha Wanafunzi 4,838

DAR ES SALAAM, Tanzania — 14 Agosti 2026: Vodacom Tanzania kupitia Vodacom Tanzania Foundation imeendelea kuchangia kuboresha mazingira ya kujifunzia...

READ MORE

Yanga Yaandaa Usiku wa Kihistoria KMC, Usajili Mpya Kutambulishwa Kesho

Mashabiki wa Yanga SC wanatarajiwa kupata burudani ya kipekee kesho, Agosti 15, baada ya uongozi wa klabu hiyo kuandaa hafla...

READ MORE